Posts

Showing posts from December, 2020

JE Unafahamu Laana ya Kutembea na Mume wa Mtu na Madhara Yake ?

Image
  Kutembea na mume wa mtu sio jambo zuri japo wanawake wengi wanaona ni kawaida bila kujua wanajilimbikizia laana itakayofanya maisha yao kuwa magumu mbeleni. Machozi ya uchungu ya mwanamke mwenzio juu ya mume wake hayafutiki haraka.. Ni kama zigo la kinyesi mgongoni linavutiwa na inzi pekeake. Huyo mwanaume unaemuona Leo ana mke, Pesa na mali na kuona ndo fursa kwako kumpata kwasababu anajua kujali na anapesa za kutosha kukugharamia.... Ukirudi nyuma miaka 10-15-20 mwanaume huyo huyo alikuwa kama huyu unae mkataa leo Unaye muona hajui kuvaa.... Hana pesa za kutosha.. Hana mali kwahiyo hakufai. Wanaume wengi wanaanzia chini... Jitihada za wake zao zinawafikisha walipo Leo. Heshimu jitihada hizo. Heshimu siku walizofunga kwa ajili ya waume zao. Heshimu machozi waliomlilia Mungu awafikishe walipo... Heshimu muda na jasho walilolitoa kuhakikisha waume zao wanaonekana watu mbele za watu. Muombe Mungu akupe wa kwako hata kama masikini mpate utajiri pamoja. Na wewe ubige magoti , ulie na...

Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

Image
  Inavyoonekana siku hizi japo kweli kuna tatizo la upungufu wa nguvu za kiume haswa kwa mazingira ya mijini, Lakini hili tatizo linaonekana kukuzwa kuliko lilivyo hadi imepelekea woga mkubwa kwa baadhi ya wengi wetu. Ndipo kwenye tafakari yangu nikaona NIANZISHE HUU UZI kwa machache tu kwa ufahamu mchache nilio nao, Ili NIWAALIKE wengi WENU kwa msaada zaidi wa mawazo kwa ndugu zetu wanaokutana na mfadhaiko huu. Nikiamini pia wengi wenu mna utaalamu na mnaoweza kuchambua haya makitu kwa ufanisi zaidi mkatatusaidia sana kwenye uzi huu. Yafaa sasa tujikite kwenye ufumbuzi kuliko kuripoti tatizo na kulaumu. Kadiri tunavyoendekeza kuripoti tatizo tunawaathiri hata wale waliokuwa wazima ambao kwa kuwa hakuna kipimo sawia kujua kipi ni kipi, nao wasiwasi unawafanya wanapoteza ujasiri wao na kujiona wana tatizo kumbe wapo imara sana kuliko mkuki. Kwa kuanzia yafuatayo yaweza kusaidia kuboresha kulifurahia tendo la ndoa zaidi na kwa muda zaidi. Kuuweka Mwili vizuri: Ni wazi kuwa tendo hili...

Mwanaume Fanya Hivi ili Mkeo Akuone Mtenda Miujiza Kila Siku.

Image
  Hili ni fundisho kwa vijana wengi ambao wanataabika, suala la fedha limekuwa mwiba mkubwa na chanzo kikubwa cha mahusiano na ndoa kuyumba. Nimelazimika nije na ushauri huu ambao utawasaidia vijana wa kileo ambao wanataabika na ndoa hususani suala la fedha. Kinachowaumiza vijana wengi katika fedha na wenza wao ni tabia ya wanaume kuwa wazi kwa kutoa taarifa za pato lake kamili. Jambo la uwazi ni jema lakini muwe na kiasi kwani usipokuwa na akiba ya 'taarifa za kipato chako' utakosa fusra ya kufanya miujiza pale mambo yanapokwama. Fanya hivi. Mfano kipato chako ni shilingi milioni moja kwa mwezi, mweleze kwamba unapokea shilingi laki 7 na hizo tatu hakikisha unaweka katika sehemu salama ambayo hata ikitokea umekufa familia yako itafaidika, mfano benki kila unapochukua mshahara hakikisha unaacha laki tatu kama akiba asiyoijua. Sasa katika hii laki saba panga matumizi pamoja na akiba ya pamoja. Wanawake wanapenda 'mshtuko/suprise'..so siku ya siku ukiona kanuna unamtoa sh...

HUYU STORY : BINTI JIRANI YANGU MAJANGA MATUPU ANANITEGA MPAKA NAKARIBIA KUSHINDWA UVUMILIVU..NAPATA SHIDA SANA.

Image
Huyu binti ambaye anaishi opposite my flat, anaishi na dada yake mkubwa, amemaliza elimu yake ya secondary. Mimi na dada yake tupo jirani sanakama majirani as if family moja. Dada yake siku za kazi huwa anaondoka asubuhi anarudi usiku. Pindi nikiwa nimerudi nyumbani baada ya kutoka kazini mida ya alasiri mdogo wake uja kwangu sababu ubaki peke yake anakuwa bored. Binafsi kiukweli huwa naienjoy company yake ikapelekea tuwe na ukaribu ambao binafsi nilimchukulia kama mdogo wangu. Kivumbi kilikuwa jumatano iliyopita, aliingia kwangu akiwa amevaa tight ya ajabu Looh!! Huku akiwa amebeba nguo nyingine, makalio yalivyo kuwa yametokezea Mmmm. Sitopenda kumtaja ni kabila gani ila lieleweke ni binti wa kanda ya ziwa aliye zaliwa hapa Dar. Kutokana na maelezo yeke ameniambia amenunua hiyo nguo anataka mawazo ya mtu mwingine. Mbele ya macho yangu jamani alivua nguo akabakiwa nab brouse sehemu ya tumbo yote ipo wazi na kilichonifanye nusu nizimie ni kwa mara ya kwanza kumuona msichana ana nywele z...

HIVI NDIVYO TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA KWA BAADHI YA MAKABILA:-

Image
WAKURYA-Mama Bhoke rara chini nikurenge WAMASAI-Mama yeyo nipe ile kitu namesa mwensake. WAHAYA-Mama Koku infacti njoo tuperform. WACHAGA-Mama Manka fungua kibubu nitupe shilingi. WAPEMBA-Mama Ali panua paja mti waja WASUKUMA-Mama Masanja njoo tuunganishe makojoreo yetu. JE KABILA LENU HUWA WANAOMBANAJE?

SOMA NA SHARE UNAWEZA KUMSAIDIA DADA MMOJA HUKO!

Image
Niwakumbushe tu Dada zangu kuishi na mwanaume bila ndoa hakumaanishi kuwa amekuoa hivyo zingatia mambo yafuatayo; (1) Ddhana ya ndoa ni kuishi miaka miwili mfululizo chini ya paa moja na si kuishi miezi sita; kuna wale wanajidanganya kuwa mkiishi miezi 6 ni kama mmeoana, hapana, ni miaka miwili na mnapaswa kuishi sehemu moja. Sio kwamba mwanaume anaishi mwanza na wewe unashi kagera ukasema kuna dhana ya ndoa hapana. (2) Mnapoishi muda mrefu dhana ya ndoa ni katika kugawana mali tu, lakini mwanaume anaweza kwend akuoa mwanamke mwingine na akakuacha, huwezi kuweka pingamizi kwakua tu mlikua mnaishi kama mke na mume, sanasana utadai mali ambazo mmechuma pamoja tu. (3) Mali mlizochuma pamoja ambazo mtagawana nusu kwa nusu ni zile tu zenye majina yenu wote. Mali zenye majina yake ni zake hata kama ulichangia, ila unaweza kuthibitisha mahakamani kuwa na wewe ulichangia kiasi flani, iwe ni moja kwa moja kwa kutoa pesa au kwa kuwa Mama wa nyumbani kumtimizia makumu kama mume, utagaiwa kutokana...

KUJICHETUA NI NINI? 😁😁

Image
Kushika mimba ukidhani ni mtego ili uolewe. Kutafuta mkamilifu wakati tabia zako tunakuvumilia tu. Kutafuta msichana mrembo wakati huna pesa. Kutafuta mke mwema kanisani wakati we unaenda kanisani wakati wa maombi ya Christmas tu. Kusema wanawake wote sawa. Kuendelea kuchagua wanaume wakati unajua waoaji siku hizi wachache. Kuishi na mpenzi wako kabla ya ndoa, unamfulia, unampikia na unampa penzi wakati unajua hujulikani kwao, ukiachwa unatafuta ushauri mitandaoni. Kusema umeokoka lakini unazini na mchumba kama kawaida kwa kisingizio kwamba soon mtakuwa mke na mume! Kuogopa kuongozana na msichana au mvulana eti mtaingia majaribuni, unajua kutamani tu ni uzinzi? Kufikiri kwamba utampata mtu mwenye sifa mia nane unazozitaka labda umuumbe mwenyewe! Kujifanya unapendwa wakati moyoni unajua wazi mtu kakuchoka, na amekwambia kabisa anatafuta mtu mwingine! Kumhonga mwanaume ili akuoe! Kudhani kwamba kutoolewa ni laana, hii ni bangi mbaya! Kumtongoza mchumba au mke wa rafiki yako! K...

USIKUBALI KURUDISHA MOYO WAKO KWA MSALITI

Image
Sio kila EX Wako anayeomba mrudiane anamaanisha, wengine huomba kurudi Ili wakutesti tu jinsi ulivyo dhaifu, Jinsi usivyo na msimamo na jinsi ulivyo CHEAP na huna misimamo wala future. Mtu mmeachana miezi 6 iliyopita, leo anakutesti mrudiane, na wewe ulivyo mvivu wa kifikiri, upo upo tu, alafu unajikuta tena ukimpa fursa nyengine ya kuendelea kukuchezea. Ina maana miezi yote hiyo ulikuwa umeganda unasubiria mrudiane na yeye? Kurudia matapishi ya EX ukitegemea amebadilika ni sawa na kupika sufuria la makande kwa mshumaa, utaambulia masizi tu. Kipi kipya kakiona kwako hadi arudi tena? Nini kilimshinda huko nyuma ambacho leo anakiweza anataka kurudi? Shtuka mtu wangu usije ukawa kipezeo au jamvi la wageni. KUWA NA MSIMAMO ukisema Its Over umaanishe, Sio unakuwa na hisia zinazopepea kama bendera ya katibu kata wa kishumundu. Mtu kama hakukuelewa tangu mwanzo achana nae, siku akijirudisha mwambie haupo kwaajiri ya majaribio ya kisayansj Usiendelee kutoa sifa mbaya kwenye mapenzi et "si...

Unatamani kumuacha ila unashindwa? Ngoja nikwambie kitu

Image
 Kuna watu wana Mikwara sana, ukiachana nae anaanza Maneno ya shombo, wengine hudiriki kukwambia ''you cant live without me utarudi tu'', unajiuliza huyu mtu ana Hisa kwenye mishipa yangu ya moyo au ana mrija wa Oxygen yangu ya kutumia kesho?? Kama nilizaliwa peke yangu kwanini nisiweze kuishi wewe ukiondoka?? Maneno ya mkosaji haya, usiyasikilize kamwe! Unapoamua kufanya Maamuzi magumu usisikilize kingine chochote, Follow your heart. Wengi wamegeuzwa watumwa kwa kuamini they cant live bila watu fulani, kisa wamezoeana, au wamekaa muda mrefu kwenye mahusiano, unahisi kama hutaweza... Hamna kitu kisichowezekana, Mungu ameumba kusahau, utapona maumivu na utasonga! Hakuna destiny rahisi ya Kimapenzi bila kufanya maamuzi magumu, lasivyo Jiandae kuwa mtumwa wa mtu fulani, binadamu fulani ambaye naye amegundua wewe ni dhaifu na anatumia udhaifu wako kukutesa maisha yote... Amua leo, Uwe mtumwa wa mtu au utengeneze furaha yako kwa Kumove on kupata Love of you life ....

*FUATA USHAURI HUU KAMWE MAPENZI HAYAKUSUMBUI TENA

Image
Kuachwa kusikupe Stress, Haijalishi umeachwa mara ngapi, Jali kile ulichojifunza kutoka kwa mtu aliyekuacha.. Kila anayeingia maishani mwako ana Syllabus mkononi mwake, Every topic anayokufundisha ichukulie serious huwezi jua mtihani wako utatungwa kwenye Topic ipi.. Usipojifunza lolote kutoka kwenye Relationships ulizopitia utaendelea kufeli daima. Usijali kuhusu listi ya Wanaume au Wanawake wangapi wametia Signature kwenye moyo wako, ila nini umejifunza kwao, The List doesnt matter....Usione Waumini 100 wamesimama kwenda kutoa Sadaka Mchungaji ukachekelea bingo,wanaweza kuweka jero jero tu,ila wanaweza kusimama Waumini 10 tu matajiri wakatoa Laki-Laki na kapu likajaa...Numbers doesnt count when it comes to Love, kuwa na listi lakini ikufunze!Ukiogopa kuumia kwenye Mapenzi hutajifunza kitu lini sasa

MAMBO YATAKAYOKUFANYA UONEKANE BORA KWA MPENZI WAKO MUWAPO CHUMBANI.

Image
Wapenzi ambao wapo katika uhusiano lakini hawajui mambo ya kufanya ili wawe bora kwa wapenzi wao. Mada hii itagusia pande mbili. Upande wa kwanza ni kwa wale ambao ndiyo kwanza wapo katika hatua za mwanzo kabisa na wapenzi wao na upande wa pili ni kwa wale ambao tayari wapo katika uhusiano lakini hawajui jinsi ya kuwafanya wawe bora kwa wapenzi wao. Inawezekana wewe ukawa mmoja wao, sasa huna sababu ya kukata tamaa na kuona kuwa huna thamani tena kwa mpenzi wako. Kwa kufuatilia vyema vipengele vifuatavyo, nina imani utakuwa mpya na penzi lako litazidi kudumu zaidi na zaidi. 1. MWANZO WA PENZI Siku zote nimekuwa nikisisitiza kuwa, jinsi unavyoanza ndivyo utakavyomaliza! Kama ulianza vibaya uhusiano wako tegemea kumaliza vibaya, lakini kama Kama unatarajia kuingia katika uhusiano na mpenzi mpya hakikisha hujionyeshi tofauti na hali yako halisi ilivyo! Jifunze kujikubali, hata kama unafanya kazi ambayo unadhani ni hadhi ya chini, mbainishe mpenzi wako hali halisi ilivyo. Kama anakup...