Posts

Showing posts from June, 2023

ZITAMBUE SEHEMU 12 ZA KUMPAGAWISHA MSICHANA KATIKA MWILI WAKE

Image
Tendo la ndoa au ngono ndilo tendo la furaha lililo kuu kwa binadamu.Wakati tendo hilo kwa wanyama lipo kwa ajili ya kuzaa,kwa upande wa binadamu ni zaidi ya kuzaa.Mapenzi au tendo la ndoa ni sanaa hivyo inatakiwa ufundi na ubunifu ili kuweza kufurahia tendo hili.Yafuatayo ni maeneo 12 yenye msisimko na kama mwanaume utayashughulikia ipasavyo bila shaka mtafurahia uumbaji wake Mungu. 1. MIDOMO YAKE. Tumia midomo yako,ulimi wako na meno yako kuchezea mdomo wake wa juu na wa chini na umbusu kwa msisimko mkubwa.Kunyonya ulimi pia huchangia kuongeza kasi ya mwanamke kwenda kileleni.(usafi wa kinywa kwa wote wawili ni muhimu). 2. K NA KI*IMI. Tumia kidole chako cha kwanza cha mkono wa kulia polepole pitisha katika mfereji wa K ukianzia chini (kutokea kwenye ******) ukipandisha juu,fanya hivyo mara kadhaa.Kutegemea umbo lako na urefu,unaweza kuchanganya zoezi hili na kunyonya matiti yake na hapo utaona upumuaji wake ukibadilika na majimaji yakiongezeka kwenye K. Kwa kawaida ki*imi cha mwanam...

ZIJUE NJIA KUMI ZA KUMFANYA MPENZI WAKO ASHINDWE KUJIELEWA JUU YA PENZI LAKO NA KUKUGANDA KAMA LUBA

Image
1. Wivu Wa Kupindukia Ni Jambo Jema Kwa Mwanamume Kumtakia Heri Mpenzi Wake Na Kufanya Kila Awezalo Kuhakikisha Kuwa Hapati Madhara, Lakini Iwapo Utakuwa Mtu Wa Wasiwasi Na Mashaka Pale Unapomwona Mpenzi Wako Akizungumza Na Mwanamume Mwingine, Au Anapotoka Na Marafiki Zake Wa Kike, Au Anapovaa Nguo Inayomfanya Atamanishe, Basi Fahamu Kuwa Tayari Umekunywa Sumu Ya Mapenzi. Katika Uhusiano Wa Kimapenzi, Kuaminiana Ni Jambo Muhimu Sana. Kama Kweli Unataka Mpenzi Wako Akupende Kwa Dhati, Mwoneshe Kuwa Unamwamini Na Unaheshimu Maamuzi Yake, Ikiwa Ni Pamoja Na Maamuzi Ya Kutoka Na Marafiki Zake Wa Kike Na Kuwa Na Marafiki Wa Kawaida Wa Kiume. Ondoa Hofu Na Acha Kabisa Kumpeleleza, Maana Wapo Wanaume Ambao Hutumia Muda Wao Mwingi Kuwapeleleza Wapenzi Wao Ikiwa Ni Pamoja Na Kuwategeshea Kamera Na Rekoda Za Simu. 2. Kutomwachia Nafasi Mpenzi Kama Huishi Na Mpenzi Wako Ni Jambo La Kawaida Kuwa Na Hamu Ya Kumwona Mara Kwa Mara, Lakini Kumbuka Kuwa Mpenzi Wako Naye Ana Maisha Yake Na Anahitaji Naf...

MAMBO MADOGO YANAYOIADHIBU NDOA YAKO MWANAMKE

Image
*Badili mwenendo wako na mazoea uiokoe ndoa yako.........  🏵️Oga, paka mafuta kisha vaa vizuri🏵️ 🏵️Mnatabia ya kusema waswahili hawana kazi,,wavivu sijui nini nini🏵️ 🏵️Mke kamilika idara zote🏵️ 🏵️Kama hutaki kukamilika na usilie na madanga ya mumeo🏵️ 🏵️Unalia nini na kukamilika hutaki🏵️ 🏵️Sikia mpendwa ongea yako tu inaweza kumpa mumeo hamu na wewe🏵️ 🏵️Yaani chakula unacho pika ukakiandaa vizuri hakika ni andalizi tosha🏵️ 🏵️Tembea yako hapo ndani mbona mahaba hizo simu na laptop na tv hata kua na hamu ya kuziangalia🏵️ 🏵️Sio unatembea una buruza mamiguu na unagonga mamilango kama fundi seremala anayetengeneza madawati ya upe🏵️ 🏵️Mwanamke unae jitambua huwezi tenga chakula kisha ukae mbali na chakula na mumeo huku una peruzi na jicho kwenye luninga mumeo atapata wapi hamu nawe🏵️ 🏵️Acha akae na simu yake ama laptop maana ndani hapa eleweki🏵️ 🏵️Akiingia bafuni matisho na nguo zako za ndani skin tight una anika bafuni serious?🏵️ 🏵️Halafu heri iwe nyeusi ama nyeu...

FUNZO KWA WACHEPUKAJI!

Image
Mwanamke mmoja alichukua Simu ya mumewe na kuingia kwenye Facebook yake.  Alitambua na kuona mazungumzo ya kimapenzi anayofanya na wanawake.  Alikaa chini na kufikiria njia ambayo anaweza kutumia kwa urahisi kumtenganisha na wanawake.  Alikuja na wazo zuri, bila hata mume kujua. Alikuja na mbinu zifuatazo.  Alinakili mazungumzo yake yote na mmoja wa wanawake hao (screenshot).  Alifungua akaunti mpya ya Facebook yenye jina la Mwanaume.  Alituma ombi la urafiki kwa mume, na alikubali ombi hilo bila kujua ni mke wake.  Baada ya kukubali ombi. Walianza kuchat na yeye akaficha utambulisho wake na kujitambulisha kwake kwa namna nyingine.   Alisema, "Mimi ni Abu Dar'daee ndio jina langu, Mwanachama wa AL SHABAB. Niliona mazungumzo yako yote na mke wangu. Kwa hiyo nataka kutumia njia hii kukuonya ujiepushe naye kama kweli unataka kuendelea kuishi. Ili kuondoa shaka yoyote kwako, nina mazungumzo yote na ni haya hapa, unaweza kuona.  Kwa hivyo, ka...

CHANZO CHA MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA KWA WANAWAKE

Image
🍎Ni kawaida kwa wanawake kuhisi   maumivu wakati wa kujamiiana. Katika matukio mengi   hali kama hizo, hutokana na mwanamke kutolainika sawasawa, hali hii inaweza kutatuliwa kwa urahisi kwa kuongeza muda wa kumchezea mwanamke(foreplay) au kutumia vilainishi vya ziada. Hata hivyo, iwapo  maumivu hayakuweza kupungua, hizi hapa  ni baadhi ya sababu, ambazo  husababisha  maumivu  wakati wa tendo la ndoa: 💕 Kukakamaa kwa misuli ya uke (Vaginismus): hali hii inasababishwa  na mkazo katika misuli ya uke inayotakana na hofu ya maumivu au majeraha. 💕 Matatizo ya shingo ya kizazi: Wakati mwingine uume unaweza kuingia ndani zaidi hivyo kugusa shingo ya kizazi. Iwapo mwanamke ana maambukizi huisi maumivu mara shingo ya kizazi inapogusana na uume. 💕 Matatizo katika mfuko wa uzazi: Matatizo kama fibroids yanaweza pia kuwa sababu ya maumivu wakati wa ngono. 💕 Maambukizi ya uke: aina yoyote ya maambukizi ya uke kama vile  maambukizi ya fangasi...

MTIHANI WA MAHUSIANO..(Wanaume Tu)

Image
🍊 Fikiria unakutana na msichana club ambaye ulisoma nae zamani shule ya msingi. Jina lake ni Mage na wote mmelewa chakali. Mage anakuomba lift kuelekea nyumbani kwake na ni usiku wa manane. Kwa vile wote mnaishi uelekeo mmoja unakubali kumpatia lift hadi anakoishi. 💕 Unamwambia akae seat ya mbele na unatoka kidogo kwenda kuchukua kinywaji take away. Wakati umetoka Mage anamwona jirani yake ambaye nae alikuwa anatafuta usafiri wa kurudi nyumbani. Mage pasipo aibu anamwambia huyo jirani yake akae kwa gari seat ya nyuma ya gari. 💕 Unaporudi unaendesha gari wala hujui kama kuna mtu mwingine zaidi yenu wawili na wala hata Mage hakwambii kitu kwa vile nae kalewa sana kwa hiyo chaneli hazishiki vizuri na usingizi nao umemwelemea. 💕 Mara unafikisha Mage anapoishi na unamsaidia kumfikisha kwake na kisha mnaagana na unaondoka kurudi kwako. Kichwani huna habari yoyote kwamba kuna msichana Cathy yumo ndani ya gari seat ya nyuma na yuko hoi hajitambui na wala Mage hakukwambia chochote. 💕 Unafi...

MADHARA YA KUTOFANYA TENDO LA NDOA MUDA MREFU

Image
🍏Habari zenu, nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu🍏 🍏Ukikaa Muda mrefu bila Kufanya tendo la ndoa madhara yake ni kama haya🍏 🍏Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo🍏 🍏Hupelekea kupendelea sana kuangalia picha za uchi na sex video🍏 🍏Kusahau sahau,kupendelea story za mapenzi,kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke)🍏 🍏Kupenda kurukia rukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo yasiyokuhusu)🍏 🍏Kuumwa na kichwa🍏 🍏Kukakamaa mgongo (wanaume)🍏 🍏Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba🍏 🍏Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency)🍏 🍏Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno🍏 🍏Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala kama ulevi n.k.🍏 🍏Kuoa kuolewa ndio muhimu zaidi katika hili🍏 🍏Daktari wa Mahaba🍏

HUWEZI KUMPOTEZA MWANAMKE kwa sababu zifuatazo...

Image
1. Huwezi kumpoteza mwanamke wako kwa sababu unatafuta pesa. Unampoteza mwanamke wako kwa sababu humtumii pesa au unamtumia kidogo sana lakini unapendelea kula bata zaidi wanawake wa nje. 2. Huwezi kumpoteza mwanamke wako kwa sababu uko bize na kazi lakini utampoteza kama huwezi kupata dakika chache kwenye ratiba yako ya kazi ili kumtafuta kumjulia hali, na kujua maendeleo yake. 3. Hutampoteza mwanamke wako kwa sababu hukupokea simu zake nyingi, utampoteza mwanamke wako kwa sababu huwa unashindwa kumpigia tena unakuta missed calls zake. 4. Hutampoteza mwanamke wako kwa sababu unamkemea na kumrekebisha bali utampoteza mwanamke wako kwa sababu huwa unamfokea na kumrekebisha hasa kwenye maeneo ya watu. Kumbuka! Mwanamke anampenda mwanaume anayempa muda wake, kumjali na kumdekeza

Siri 5 ambazo mke hafai kumwambia mume wake licha ya utamu wa penzi lao💖💖💖

Image
🌹Ndoa ni muhimu, na huwa muhimu kwasababu ni kitu kinachowaunganisha mume na mke na kuanzisha familia, na huleta baraka nyingi kama vile watoto na nyinginezo nyingi. 🌹Hata hivyo siku hizi, ndoa nyingi huishia kuvunjika kutokana na sababu moja au nyingine, hususan kutokana na ugomvi ndani baina ya wanandoa. 🌹Bila shaka haipaswi kuwa siri baina ya wanandoa, lakini kuna baadhi ya vitu ambavyo mwanamke hapaswi kumwambia mume wake, hata kama wanapendana kiasi gani. 🌹'Najuta kumuacha dada yangu awe na mazoea na mume wangu’ 'Utasa ulisababisha mahari yangu kurejeshwa' Katika jamii nyingi za kiafrika kuna msemo usemao, masikio yasiposikia , moyo hauwezi kukasirika. 🌹Na kama tunataka amani ndani ya familia lazima kutakuwa na matukio magumu , na mwanamke anapaswa kusaidia katika utatuzi wa mambo hayo. 🌹Yafuatayo ni mambo 5 ambayo mwanamke hapaswi kumwambia mume wake:🌹 1. Idadi ya wanaume uliojamiiana nao kabla ya kuoana na mume wako 💕 Hupaswi kumfahamisha mpenzi wako wa kiume...

KANUNI 12 ZA DHAHABU ZA KUMKAMATA MUMEO SIKU ZOTE...

Image
  1). Usijifanye kuwa mgonjwa kwa lengo la kumnyima mumeo tendo la ndoa. Lazima umpe. Mapenzi ni muhimu sana kwa wanaume.. 2). Usipaze sauti yako kwa sababu yoyote dhidi ya mumeo. Ni ishara ya kukosa heshima. 3). Usifichue udhaifu wa mumeo kwa familia na marafiki zako. Yatakurudia... 4). Usitumie mitazamo na mhemko kuwasiliana na mumeo, haujui jinsi mumeo atakavyotafsiri. 5). Usimringanishe mumeo na wanaume wengine, haujui maisha yao. Kama unashambulia mapito yake, upendo wake kwako utapungua. 6). Usisahau kwamba mumeo alikuoa, sio mjakazi wako, fanya majukumu yako. 7). Usimtafutie mtu wa kumjali mumeo, watu wanaweza kufanya mengine lakini mumeo ni jukumu lako mwenyewe. 8. Usimlaumu mumeo akirudi nyumbani mikono mitupu. Badala yake mtie moyo.. 9).Usishirikiane na wanawake wenye mtazamo mbaya kiakili kuhusu ndoa. 10).Usiwe mtu wa kumhukumu sana mumeo. Hakuna mwanaume anayetaka mke msumbufu. 11).Kamwe usiruhusu marafiki zako kuwa karibu sana na mumeo.. 12).Usi...

NJIA PEKEE ZA KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENIMWENYE UMBO KUBWA

Image
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa Mechi) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/Mechi (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine wasijue hata utamu huo ukoje ...

JINSI YA KUMFURAHISHA MWANAUME KITANDANI

Image
Mwanamke yeyote anayeweza kumfanya mwanaume kuwa mtu wa furaha anastahili pongezi kubwa sana kwa kazi nzuri unayofanya hasa kujitoa ili kuhakikisha ndoa yake inakuwa na afya kila siku. Wapo wanaume (siyo wote) hata kama mwanamke anajitahidi kwa nguvu zote na ujuzi wake wote kumfurahisha, bado mwanaume haelewi somo anaendelea na maisha yake kama anavyojua yeye, hana muda wa kusikiliza kitu chochote kutoka kwa kiumbe anaitwa mwanamke. Binafsi namshukuru Mungu na pia nakiri kabisa kwamba ni moja ya wanaume walio barikiwa duniani kupata au kuoa mke ambaye anajitahidi siku zote kuhakikisha ninakuwa mwanaume mwenye furaha; kwani naziona juhudi zake kwa maneno na matendo. Ili kuchambani kuwe na furaha ni muhimu furaha kuanzia nje ya nyumba kabisa then sebuleni na kumalizia chumbani. Jambo la msingi katika mahusiano ya ndoa; kila mwana ndoa anatakiwa kufanya lile ambalo na yeye anapenda kufanyiwa. Jitahidi sana kutenga muda kwa ajili ya mume wako kwani maisha ni mafupi sana kuishi kwa kubishan...

SIRI YA KWELI KUHUSU WANAWAKE

Image
 1. Mwanamke anapokasirika, hamaanishi zaidi ya nusu ya kile anachosema.  Ikiwezekana kila mara mkumbatie ili kumtuliza.  2. Wakati mgumu sana kwa mwanamke ni pale anapokuwa mbali na mwanaume anayempenda kwa dhati.  Anaweza kupata upweke  mbaya.  3. Inachukua muda kwa mwanamke kumuamini mwanaume, ni vigumu kubadili mawazo yake anapofanya hivyo, lakini ukiharibu unaweza kumsahau kabisa..  4. Mwanamke ni shule ambayo huwezi kuhitimu kirahisi, uanatakiwa kuendelea kumsoma..  5. Anaweza kuwa na uchungu sana sasa hivi, na malaika mtamu sana baadaye, yote yamo katika uwezo wako.  Ndio mtendee haki siku zote.  6. Mwanamke ni vigumu kusahau mambo, anakumbuka uchungu zaidi.  Epuka maneno mabaya na umthibitishie kila wakati.  7. Mwanamke anaweza kuwa msiri sana.  Mara nyingi wanapoonyesha ugumu kwa wanaume, huenda chumbani kwao na kulia.  Mfanye mwanamke wako kuwa rafiki yako bora.  8. Wanawake wote Wanapenda kuombwa....

HATUA ZA KUFUATA KURUDIANA NA MPENZI WAKO WA ZAMANI

Image
❤️Leo  Daktari wa Mahaba nawaletea darasa mahususi kuhusu mbinu unazoweza kurudiana na mpenzi wako wa zamani ambaye bado unampenda.  💕 Unajua kuna sababu nyingi zinazofanya watu waachane ilihali bado wanapendana. Siku ingine tutazungumzia sababu hizo ila leo ngoja tuende moja kwa moja kwenye mada. Unajua kurudiana na mpezi wako wa zamani sio ishara kuwa wewe ni limbukeni au hakuna zaidi yake bali siku zote ni vizuri kuheshimu hisia zako.  ❤️Kama bado unampenda na unahisi yeye ni furaha yako sasa kwa nini msirudianae? Labda nikwambie kurudiana na mpenzi wako sio kazi ngumu, kazi ngumu ni kuhakikisha kuwa hamuachani tena. Ebu fikiria kama mtu akiweza kukuacha, utawezaje kurudiana nae na kumfanya hasikuache tena? Kuna umuhimu gani wa kurudiana nae kama mtaweza kuachana tena. ❤️Kuna njia za kufuata ili uweze kurudiana na mpenzi wako wa zamani, kwa sababu pindi tu ulipoachana nae uliumia sana, ulipoteza hisia juu yake na kubwa zaidi ulichanganyikiwa. Na kwa kawaida katika kup...

ACHA PENZI LIONGEE KAMA WAMPENDA BASI UTAMBEMBELEZA

Image
Ni kifo pekee  ndo kitanichagulia kati ya kukuacha wewe au niende kwa mwengine.  🌹Siyaoni maisha yangu nje ya penzi lako, una funguo za pumzi zangu wewe ❤️ 🥀Mapenzi maji ya kunywa, tuyanywe kwa staha mpenzi, maana yakitunywa yenyewe hatuwezi kutoboa. 🌺Umefanikiwa kuitenganisha shilingi na mapenzi ya kweli, ni wachache tu ndo wanaweza. Kwa hili waje wajifunze kutoka kwako. 🍄una kiuno feni ewe malkia, hakuna anayekupata kwa kukatika ukiamua. Mengine nikae kimya, nitaharabu nikisema 😂😂😂 😂 ♥️Nakupa pombe ya roho yangu, nigide unavyoweza. Si walinibomoa eeh, mkandarasi hodari umejua kunijenga na kunipamba. Nang'ara. Nilitaka tu kukujulia khali  kipenzi changu, unapendwa na kila kiungo cha mwili wangu 🥰🥰❤️❤️ Mapenzi ndo haya sasa😀😀😀imagine ndo nakwambia maneno hayo c utanenepa ghafla😀😀😀kwaheriniii🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃 🍏Daktari wa Mahaba🍏

USIJARIBU KUMFANANISHA MPENZI WAKO NA WENGINE

Image
Kuna wakati huwa inashangaza sana ukisikia yale wanandoa wanafanya au wanataka yafanyike katika ndoa zao. Kama ni mwanamke basi una marafiki wanawake wenzako ambao waume zao inawezekana wana pesa nyingi kuliko mumeo, wamesoma kuliko mumeo, wana mali kuliko mumeo, wana akili kuliko mumeo, wanakuwa na muda zaidi na familia zao kuliko mumeo, wakivaa wanapendeza kuliko mumeo na pia wanabembeleza wake zao kuliko mumeo, au wana tabia njema kuliko mumeo au kama wewe ni mwanaume nawe una marafiki wa kiume ambao wake zao wapo hivyo. Je, ni mara ngapi umemlalamikia mumeo au mkeo kwa kumlinganisha na wanaume wengine au wanawake wengine? Inawezekana umemlalamikia mumeo au mkeo kwamba “Mwenzako Joh amepunguza uzito wewe umebaki umenenepeana kama kitimoto kwa nini? “Mwenzako George amenunua gari wewe nini kinakushida , wewe ni mwanaume gani?” “Mwenzako mama Noel kila siku ukienda kwake nyumba safi wewe inakuwaje chafu namna hii” Kama ni wewe utajisikiaje? Hapa msipotoana ngeu au kuzuka zogo basi ...

DADA MPENDWA, USHAURI BORA WA MAHUSIANO KWAKO🌹🌹

Image
1. Tafadhali usimuonyeshe mwanaume kuwa unampenda sana, usimjulishe kuwa huwezi kufanya kitu chochote bila yeye.  Atakuchukulia poa, kukusaliti au kufanya chochote anachotaka kwa sababu anajua unampenda sana.  2. Usilie, usikate tamaa au kufa kwa sababu ya mpenzi wako. kwanini ulie au unywe sumu kwa sababu amekuvunja moyo?  Hakuwahi kukupenda huyo.  3. Kama mwanamke, jipe ​​heshima, lazima umuonyeshe mwanaume wako ajue kwamba unaweza kuishi bila pesa zake.  Usiombe muda wa maongezi, pesa za nywele au nguo kutoka kwake.  Tafuta chanzo cha mapato naye atakuheshimu.  4. Acha kudhibitisha kuwa wewe ni mzuri kwenye ngono na uchumba tu, sio mzuri kwenye ndoa.  Wanaume huwa wanakuwa wenye akili na busara linapokuja suala la kuchagua mwenzi wa ndoa.  5. Usijisikie kana kwamba ulimwengu unakaribia mwisho kipindi mwanaume ameamua kuondoka kwako.  Usimsihi abaki, wewe ni wa thamani sana kuomba hilo dada yangu.  Atakutendea na kukuona kama taka...

UNA HAMU NA TENDO LA NDOA LENYE MSISIMKO ZAIDI? 💞

Image
💞FANYA HIVI💞 🍇Swala la mapenzi ni muhimu na kawaida kwa binadamu hasa pale muda wake unapofika. 🍇Yafuatayo ni mambo unayoweza kufanya ili kuongeza hamu,utamu na ashki kwa mwenzako ili kumridhisha na kuboresha uhusiano. 🍇Kula chakula kiasi, kushiba sana kabla ya tendo la ndoa itakusababishia uchovu, usingizi na uvivu katikati ya tendo la ndoa. 🍇Epuka vyakula na vinywaji vinavyo ongeza nguvu kwani vitachangia kukuchosha wakati wa tendo. 🍇Usibishane na mwenzio. 🍇Itasababisha kupoteza nia na hamu ya kufanya tendo na hivyo kukukosesha raha katikati ya tendo. 🍇Epuka hasira na mawazo kabla na wakati wa tendo.  🍇Usiwe na hofu juu ya mwili wako na maumbile yako.  🍇Itakusaidia kujiamini na kujiheshimu mbele ya mwenza wako na jaribu kuweka mawazo sana katika sehemu ya mwili wako na mwenzio unayo ikubali zaidi.  🍇Usitegemee mengi na mazuri tu, Kumbuka miili ya binadamu iko tofauti hivyo jiandae kukubaliana na lolote hasa unapo fanya tendo kwa mara ya kwanza au na mpenzi m...

AINA 10 ZA WANAUME AMBAO HUWA CHANGAMOTO KWA WAKE ZAO

Image
🍏 Kila ndoa inachangamoto zake na maana halisi ya ndoa ni ule uwezo wa wanandoa kuvumiliana katika changamoto hizo. Kuna changamoto za kimungu ambazo wanandoa hawawezi kuziepuka lakini kuna zile za kiuanadamua mbazo nyingi ni za kimakusudi na mtu huamua tu kuwa hivyo. Katika kuangalia ndoa leo nimeona nichambue aina kumi za waume ambao wake zao wanakereka kuwa nao; (1) Wanaojiona Kama Wafalme (King Husband);  HIi ni aina ya wanaume ambao hutaka kusujudiwa kama wafalme na hupenda kuwafanya wake zao kuwa kama watumwa. Hawafanyi chochote ndani ya nyumba kazi yao ni kutumatuma hata kama mke anaumwa atapaswa kuamka na kupika, wanataka waheshimiwe wao tu na mwanamke akikosea kidogo ni maneno au kipigo. Mwanamke hana kauli ndani na mume akiingia nyumbani ni kama bosi anavyoingia ofisini, wote kimya hakuna hata kuongea. (2) Wanaume Wanaojihisi Bado Hawajaoa (Bachelor Husband);  Hii ni aina ya wanaume ambao hawawashirikishi wake zao kwa chochote. Hufanya mambo kama vile bado hawajaoa,...

UTAMU WA MAPENZI NA JINSI YA KUULINDA KATIKA MAHUSIANO🌺🌺

Image
🌺Kuna sababu za msingi kabisa kuelezea mambo ya kuzingatia ili kutambua vitu vitakavyokufanya ufurahie utamu wa ndoa yako. Kuishi na mke au mume si kitu rahisi kama ambavyo watu wengi ambao hawako katika ndoa hufikiria. Hivi ni vipengere baadhi tu, wanandoa na wampenzi wanapaswa kuvitambua; 🌺Kwanza kabisa ni kwambie kwamba utamu wa mapenzi sii lazima ufanye tendo la ndoa ama ngono, kuna mambo kibao ambayo moyo wa binadamu ukiyakosa huweza kukonda kama muathirika wa magonjwa hatari ya mwili.  🌹"Upendo kutoka kwa yule umpendae", 🍏 hili ndilo jambo kubwa la kwanza katika afya ya moyo ulio katika dimbwi la mapenzi. Hakuna kitu kitamu kama kupendwa na ukapenda pia, kitendo hiki hufunga macho yote ya vishawishi vya dunia hii ya kidigitali. Usilazimishe upendo kwa mtu ambae unaonekana kuwa wewe tu ndiye unaye mjali wakati yeye hana habari na wewe. Ndio maana ukitaka kuingia katika ndoa lazima umtafute mtu unayempenda na anayekupenda ili muishi katika maisha yasiyo ya kushawishik...

MAMBO HUBADILIKA MKISHAOANA NA KUANZA KUISHI PAMOJA

Image
🌺Watu wawili wanaopendana na kuishi kila mmoja kivyake ni tofauti sana na watu wanaopendana na kuishi nyumba moja. Wapo ambao hujiuliza inakuwaje wapenzi wawili waliokuwa wanapendana na kuwa na moto wa mapenzi wa kiwango cha juu sana wakianza kuishi pamoja mambo huanza kubadilika? Pia wapo ambao hukubaliana kwamba baada ya kuoana na kuishi pamoja watajitahidi sana kuhakikisha wanapendana kama mwanzo hata hivyo baada ya kuanza kuishi pamoja hujikuta wamekuwa dada na kaka na hakuna moto wa mapenzi tena. Jambo la msingi unatakiwa uwe makini kwani kuishi kila mpenzi kwake ni tofauti na kuishi na mpenzi nyumba moja na kitanda kimoja. 💕 Pia wapo wanaume au wanawake baada ya kuoa au kuolewa hufikiria na kuamini kwamba wale wameoana nao si wazuri kama wale walioko nje hata hivyo ukweli ni kwamba kwa kuwa huishi naye masaa 24 kwa siku Ndiyo maana unaona ni mzuri, ukiishi naye kwa saa 24 siku 365 kwa mwaka ndo utajua ni tofauti kabisa. 💕 Inawezekana wakati mnaishi tofauti na mpenzi wako iliku...