Posts

Showing posts from August, 2021

ZINGATIA YA FUATAYO ILI KUEPUKA MAUMIVU WAKATI WA KUACHANA.

Image
1. Mwamini Mungu maana ni yeye tu asiyebadilika ila Mwanadamu anabadilika. 2. Fahamu kuwa una-date Mtu na sio malaika, anamapungufu na anauhuru wa maamuzi. 3. Kutofaa kwa huyo mpenzi wako haikufanyi kutofaa kwa ulimwengu mzima. Dunia inawatu zaidi ya Billion 7, hivyo akiondoka yeye kuna wenzake Billion 6+ wanakusubiri. 4. Mahusiano sio Ndoa na yameruhusiwa kuvunjika. Hivyo kuachana sio jambo la ajabu wala la aibu. 5. Inawezekana kuvunjika kwa hayo mahusiano ni ishara kuwa Mungu anakuepusha na janga kubwa zaidi huko mbele. Mshukuru Mungu na umwamimi. 6. Samehe, achilia, linda amani ya moyo wako kwani maisha bado yanaendelea. 7. Jipambe, vaa, pendeza, kula vizuri na upate muda wa kupumzika kwani hujafiwa ni kama tu umeacha kazi Kampuni moja kwenda nyingine. 8. Acha kujilaumu kwa yote uliyomfanyia kwani ilikuwa sehemu ya Mchakato wa mahusiano, hata asingekuwa yeye bado ungefanya kwa mwingine. Hakuna sababu ya kuchanganyikiwa. 9. Hatma yako iko mikononi mwa Mungu na ndiye anayeamua kesho y...

Dada yangu hujayapatia bado Maisha ndiyo kwanza safari inaanza!

Image
Wanawake wengi wakishaolewa hudhani kuwa maisha yameisha, wanajisahau kwa namna flani, ile dhana kuwa mwanaume yupo basi inawachanganya sana, inawaondolea ule mzuka wa kutafuta, ile hamu ya mafanikio, hasa wale wanawake ambao waume zao wanajali, wanahudumia kila kitu. Wanawake kama hawa wanajisahau sana katika suala la kutafuta, hawa ndiyo utasikia; (1) Nasubiri kwanza nimalize kuzaa ndiyo nitafute kazi au nifanye Biashara; Ukweli ni kuwa mume anahudumia sina haja ya kubeba mimba huku nikifanya kazi! (2) Mimba yangu inanisumbua siwezi kufanya chochote; Nikweli wakati mwingine mimba sinasumbua, lakini wanaacha kazi kwakua kuna anayehudumia, single mother angekomaa na bosi na maruhusa, angehangaika na mabarua mpaka basi, single mother asingefunga Biashara, angeajiri mtu lakini kila siku angefuatilia, simu zingepigwa mpaka basi. (3) Nasubiri mpaka mtoto akue, wanangu hawawezi kulelewa na Dada wa kazi! Wadada wa kazi siku hizi kupata shida; Hapo unakuta mtoto ana mwaka mmoja, sijui anasubi...

AMRI 10 ZA UCHUMBA UTAOFIKA MBALI.

Image
1.Usizini. Tendo la ndoa ni kwa waliopo kwenye ndoa ndio maana likaitwa tendo la ndoa sio tendo la uchumba. Ukiona mchumba analitaka ujue hana mpango na ndoa! Geuza mabehewa kabla hajakuzinisha. 2.Usikope mkopo kusomesha mchumba hilo ni jukumu la wazazi wake, au kununua kiwanja pamoja, kujenga nyumba pamoja na mchumba  n.k hasa kama unadhani kwamba utaumia iwapo uchumba ukivunjika. Yafanye iwapo unaamini hayatakuumiza hata uchumba ukivunjika, na wala huna mpango wa kudai urudishiwe chochote. Katika hili Wengi wamelia mno!. 3.Acha kujiaminisha sana kwamba utamuoa au atakuoa kwani uchumba sio ndoa, uchumba ni uchumba tu na utabaki kuwa uchumba  na lolote laweza kutokea kama si upande wako basi upande wake. Wale yaliyowakuta wananielewa vizuri hapa.! Kwahiyo uwekage na ka balansi ili ukipigwa za uso usizile kuoa au kuolewa milele.  4.Usiweke agano na mchumba, maandiko yanatambua agano la ndoa sio agano la uchumba. Katika uchumba unaweza kuweka ahadi lakini usiweke Agano. Mfa...

SASA BASI WASICHANA WENYE TABIA HIZI ZIFUATAZO HUWA WANAZALISHWA NA KUACHWA.

Image
1.Aliemuacha MWANAUME ambae alimgharamikia na kumpenda sana ila yeye akamuacha na kumng'ang'ania mwanaume mwingine. 2.Mwanamke mwenye mdomo sana..yani muongeaji too much 3.MAJIGAMBO,,,Anaejiona mzuri kuliko wengine...yani mwenye majivuno.. 4.Anaependa maisha ya kuiga na kujali kitu kuliko hisia/mapenzi kwa boy wake ...yani yeye anataka kuishi kama ZARI wakati boy wake huo uwezo hana na yeye mwenyewe hata kazi ya maana hana 5.Mwenye dharau ...yani sometimes anaweza msonya hata boyfriend wake au kumbeza kisa anatongozwa na ma HB au wenye pesa kuliko boy wake 6.Mwenye tamaa yani haridhiki na anachopewa na boy wake ...akimpata mwenye pesa anamuona boy wake fala na kumuacha.. 7.Mbinafsi yaani. ...hata akiwa na pesa au kama anafanya kazi hawezi msaidia boy wake akiwa kwenye shida....hawezi mnunulia hata boy wake zawaidi kama ishara ya upendo... 8.Mlevi na mpenda club...yani yeye kulewa ndio kitu chake cha kipa umbele kuliko mapenzi kwa boy wake.. 9. Mbishi/mbishani....yani hawezi fan...