Posts

Showing posts from November, 2021

[WAKUBWA TU] JIFUNZE MBINU ZA KUNOGESHA PENZI LAKO BONYEZA HAPA

Image
  [WAKUBWA TU] PAKUA APP YA UTAMU KITANDANI BONYEZA HAPA PAKUA APP YA UTAMU KITANDANI BONYEZA HAPA PAKUA APP YA UTAMU KITANDANI BONYEZA HAPA [WAKUBWA TU]

UKWELI KUHUSU WANAWAKE

Image
  1. Oa mwanamke ambae unaweza KUSALI nae na sio kwa sababu anajua KUFANYA MAPENZI vema. Maombi Hufungua Vingi Kuliko Mapenzi Kufungua Miguu Tuu. 2. Mwanamme bora KAMWE hapimwi kwa İdadi ya wanawake alionao au aliotembea nao BALI kwa idadi ya wanawake aliowaambia "Mimi ni mume wa mtu" au "ninae mtu tayari." 3. Kuna aina ya wanawake unatakiwa kuwaepuka kabisa kwa gharama yoyote ile, wanawake wanaodhani uzuri wao ndio bora zaidi kulika tabia zao" 4. Kila mwanamke anavutia akivaa nguo fupi inayoonesha maungo ake wazi, ila kama utakuta mwanamke amevaa nguo ndefu au za kusitiri mwili wake na bado anavutia, huyu ni dhahabu! Atathamini mali za mumewe! Usimwache Ndie Mke Bora. 5. Kamwe usimpe mwanamke mimba ya mtoto kabla hujampa mimba ya malengo na ukayatimiza 6. Tafuta mwanamke ambae atakupa challenge ya maisha na kuongeza uwezo wako wa kufikiri na sio mwanamke wa kila kitu Ndio mzee 7. Wanawake wakamilifu hawapatikani popote duniani, ila wanawake bora wapo kila ma...

MWANAMKE TUMIA VIUNGO VYAKO KUNOGESHA PENZI SIYO KUHARIBU MAPENZI

Image
*Regeza jicho wakati wa kumtizama mume wako siyo unalikaza mpaka anakuogopa utafikiri uko chooni unakamua kimba lililokataa kuoka * Usiseme nina pua baya sijui nini, mwanamke ukiongea na mumeo hata kama unapua kama nukta nundu shikashika huku ukijifanya kama unamafua vile. Hata kama unasikio kama ungo lipambe kwa hereni siyo lazima za kuning'inia kama mmasai, zipo ndogo akija mume ataliona sikio dogo unakwama wapi mwanamke? Hakuna limbwata zuri kama nywale lakini mmh, kuna baadhi ya watu nywele zimefungwa mabutu wala hazijulikani rangi wala mstari hauonekani. Wanaume wengine wanapenda kuchezea nywele jamani suka vizuri ata twende kilioni , Mume mpaka kula denda anaogopa kwa meno yalivyogandia vinyuzi vya spinachi na maharage Mswaki unaona kama gundi ya viatu, halafu unasumbua watu mume wangu wala hani kiss, mara naombeni jinsi ya kutengeneza limbwata, wakati wewe mwenyewe limbwata hala hujui kujituma Mwanamke una kauli chafu kama choo cha stendi ya ubungo, mume anaona bora arudi ny...

SABABU ZA KUOLEWA na KUTO OLEWA kwa MWANAMKE MZURI

Image
Mwanamke mzur ina maana tofaut kwa kila mtu kulingana na mawazo yake. Wapo wanao amin ni yule Mwenye sura nzuri. Makalio makubwa na umbo zuri na hata sauti... Wapo pia wanawake wanao jitambua ni wazur ila hawaolew kwa sababu Uzuri wako unamfanya ataminiwe na wanaume wengi kingono Ktk umri wa miaka 18_25 mwanamke hua anavutia zaidi kutokana na mabadiriko ya mwili wake . yaan mwili mzima unakuwa na nuru ktk kipindi hiki wengi(wanawake) waga hawapendi kujishughulisha coz kila kitu atapewa tu na mwanaume/wanaume pia ni rahisi kuvunja mahusiano maana anajua wapo wanaume weng wanao mtaka Mdada kipind hik hujiona yeye ndo yeye akipost pcha like zaid ya mia comments zaid ya 50 wote wanaume walio ktk ndoa hata wasio ktk ndoa watamtongoza.wapo atao wakubalia sababu ya kipato chao na umaarufy wao Umri huu weng huwa hawafikirii kuolewa na akiwaza ndoa bas atataka mume mwenye gari..pesa na kaz nzuri..hapo hujikuta akisema "Mwanaume pesa sura hata mbuzi anayo... lakin akimpata mwenye pesa ila...

WANAUME TU Mjue MWANAMKE MTAFUTAJI na UMUHIMU wake ktk maisha yako

Image
Mara zote wanaume tumekuwa tukiponzwa na Tamaa ya Ngono inayo sababishwa na macho. Hali ya kuvutiwa na mwanamke mwenye sura nzur..makalio makubwa imepelekea weng kukimbilia uzur wa sura na maumbile na kupoteza Mke bora... KAKA pamoja na pesa ulizo nazo tambua utamuendesha na kumtumia utakavyo Mwanamke anae jivunia mwili wake ili apate pesa.. Huyo utamfanya utakavyo hata umsalit mara ngap hawez kukuacha sababu bado anazitaka pesa zako KAKA mwanamke mtafutaji na anae jua thaman ya mwili wake kamwe hawez kuwa mtumwa wa pesa zako.. Ana uhakika kuwa anaweza tumia nguvu na akili yake kujipatia pesa na sio ngono. Mwanamke mtafutaji siku zote anajiamin na hapendi kuyumbishwa yumbishwa Mwanamke mtafutaji anajua mda gan avae vizur na atoke kwenda matembez na mda gan ashinde shamban..ofisin au kaz yoyote inayo mlipa. Mwanamke mtafutaji hana mda wa kulilia penz ambalo anaona halina mwelekeo. Mapenz kwake ni ziada tu akili yake ipo ktk kaz na pesa tu zile za jasho lake. KAKA una kila sababu kumhesh...