HIVI UNAJUA KUNA WATU WANAWASILIANA NA WAPENZI WAO KILA SIKU NA WAKO KWENYE MAHUSIANO ILA MAPENZI KATI YAO YALISHAKUFA SIKU NYINGI





Kuna watu wanawasiliana na wapenz wao kila siku ya MUNGU lakini mapenzi yalishakufa zamani sana...yaaani wamebakiza chatting tu!!wengi wanajua kujibu text za wapenzi wao...sio kuelewa kujibu text!....jifunze kueelewa mawasiliano yako sio ku reply..ukijua kuelewa maswasiliano yenu kwenye mahusiano unaweza gundua kumbe unachat na mtu ambaye alishaakuua moyoni mwake tangu mwaka mmoja uliopita!!wengi wanadumu tu kwenye mahusiano yao sababu hawajui kuwa wanajibu text sio kuelewa text wanazotumiwa...#unaweza usielewe hili somo #niulizenikujuze
Counsellor

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KURIDHISHANA WAKATI MWANAMKE AKIWA KWENYE HEDHI

ZIJUE TABIA HIZI ZA MSICHANA ANAYEPENDA LAKINI HAWEZI KUSEMA.

UNADHANI NI MWANAMKE YUPI AMBAYE ANATESEKA ZAIDI HAPA