JIFUNZE KUBADILIKA BAADA YA KUACHWA



Ukilia ukiwa umeachwa haisaidii kitu,,kikubwa ni kujiuliza,je umeachwa kwasababu gani,,hili ndilo swali ambalo unapaswa ujiulize ili kurekebisha ulipokosea ili ajae asije anakuacha kama huyo wa mwanzo,,,nikwambie kitu my sister/brother usipoondoa kisiki ulichojikwaa kisa tu una maumivu,,,tegemea ipo siku kitakukwaa tena na kupata maumivu,,,unapoachwa jisafishe makosa yako na kuwa Mwanaume/mwanamke mpya hata utakapojaljwa kupata mwingine akukute wa tofauti kabisa.

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KURIDHISHANA WAKATI MWANAMKE AKIWA KWENYE HEDHI

ZIJUE TABIA HIZI ZA MSICHANA ANAYEPENDA LAKINI HAWEZI KUSEMA.

UNADHANI NI MWANAMKE YUPI AMBAYE ANATESEKA ZAIDI HAPA