MKE ALIYE MTAMU WA MANENO YAKE NA KAULI NZURI NI TIBA KWA MME WAKE

 



Habari yako msomaji wangu, natumaini upo salama,leo nataka niseme na wanawake wenzangu,,nataka nikuambie tu kuwa safari ya ndoa ni ndefu si sawa na safari za kwenda mikoani,,hivyo usijidanganye kwa kujifariji kwa furaha ya muda mfupi,,kuna mambo yanatokea mwanamke unakuwa sababu ya kupoteza kwa furaha katika mahusiano yako kwa kukosa lugha nzuri,unadhani unajenga au unamkomesha mmeo kumbe unabomoa na kufungua upenyo wa upendo kupungua na kutafuta mahali pa kibinti tu kinachojua kubembeleza na kujali,,mwisho utafute mchawi nani kumbe mdomo wako,,hebu kuwa mtamu wa maneno yako,,kuwa na kauli nzuri zenye nidhamu na ubembelezi,,acha kupayuka payuka jitambue uwe wa wakitofauti.

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KURIDHISHANA WAKATI MWANAMKE AKIWA KWENYE HEDHI

ZIJUE TABIA HIZI ZA MSICHANA ANAYEPENDA LAKINI HAWEZI KUSEMA.

UNADHANI NI MWANAMKE YUPI AMBAYE ANATESEKA ZAIDI HAPA