USIENDEKEZE HISIA KUKUPA UPOFU WA AKILI

 



Hata kama unampenda mtu kiasi gani lakini matendo yake hayaendani na vile unavyotaka awe,basi ni bora umwache AENDE,,,,haitakiwi kuvumilia hata mambo yasiyofaa eti kwasababu unampenda sana na huwezi kumuacha,,kama anakushauri mambo yasiyofaa ni bora umwache aende kuliko kuingia katika matatizo ambayo hukutalajia,,,,,Usiendekeze hisia kukupa upofu wa akili yako,,kutofanya maamuzi sahihi ya kumpata mtu sahihi ambaye atasahihisha mapungufu yake,,,,kumbuka unaweza kuongozwa na hisia na ukashindwa kufanya maamuzi yaliyo sahihi  lakini endapo utaongozwa na maamuzi sahihi basi hisia sahihi zitakuwa katika mapenzi yenu.

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KURIDHISHANA WAKATI MWANAMKE AKIWA KWENYE HEDHI

ZIJUE TABIA HIZI ZA MSICHANA ANAYEPENDA LAKINI HAWEZI KUSEMA.

UNADHANI NI MWANAMKE YUPI AMBAYE ANATESEKA ZAIDI HAPA