Mume bora hapimwi kwa elimu yake, pesa zake, muonekano wake wala nafasi yake kazi.

 




Mume bora ni yule mwenye upendo na utii kwa mke wake, mwenye huruma na ukarimu, mwenye kujua thamani ya mke wake, mwenye kujizatiti kuwa kiongozi na baba bora wa familia, mwenye subra na utulivu wakati wote.

Pombe, sigara na vitu vyengine kama hivyo kwake havina nafasi, kipaumbele chake ni kujiweka karibu na mungu na muhamasishaji mkubwa wa familia yake juu ya uwepo wa mungu.

Inahitaji utulivu na busara kumpata mwanaume wa aina hii, mume bora hapimwi kwa kumtunuku mwili wako. Ila mume bora anapimwa kwa imani yake, busara na hekma zake na uwezo mkubwa wa kukusaidia kimawazo.

Shar

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KURIDHISHANA WAKATI MWANAMKE AKIWA KWENYE HEDHI

ZIJUE TABIA HIZI ZA MSICHANA ANAYEPENDA LAKINI HAWEZI KUSEMA.

UNADHANI NI MWANAMKE YUPI AMBAYE ANATESEKA ZAIDI HAPA