KAMA UNA HIZI TABIA BASI UMASKINI UMEKUSINDIKIZA. Please share


▪️ kufatilia maisha ya watu kila wakati.
▪️ Wivu wa maendeleo ya wengine.
▪️Kuomba omba hela au kukopa kila mara
▪️Kua online mitandaon kila wakati
▪️Kujipendekeza kuliko pitiliza
▪️Kupiga piga picha vyakula, mahotelini na kwenye magari ya watu.
▪️Kujieleza saaaaaana kwa watu.
▪️Kusifia sifia wenye pesa( uchawa)
▪️Kupenda saaana kubeti
▪️Kujichubua,matajiri hawajichubuagi. kwenda gym kutengeneza miili kwa lengo la kuvutia wengine na sio afya.
▪️Kudharau kazi.
Mengine malizieni . Share na mtu moja kisha weka maoni yako👇🏾
May be an image of 1 person and standing

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KURIDHISHANA WAKATI MWANAMKE AKIWA KWENYE HEDHI

ZIJUE TABIA HIZI ZA MSICHANA ANAYEPENDA LAKINI HAWEZI KUSEMA.

UNADHANI NI MWANAMKE YUPI AMBAYE ANATESEKA ZAIDI HAPA