MAMBO YA KUEPUKA UWAPO CHUMBANI

🌹 *DONDOO ZA NDOA*🌹

EPOSODE YA 4

✍️

Leo Dr.Charles nimekuandalia mambo ya kuepuka unapokuwa na mwenzako chumbani...Hii ni episode ya 4

1.Epuka kwenda kulala mda (wakati) tofauti na mmeo.
Mme kalala chumban wewe upo sebulen au wewe unaanza kulala kabla ya mmeo.. Hapa najua kuna watu hawatakubali kabisa😃 ila ukweli ndio huo.. 

2.kuwa bize na simu au tv ukiwa kitandan
hii utafsiliwa kama dharau yaan umemdharau mmeo👌

3.kupanda kitandani ukiwa mchafu
ujaoga😂 au hujajisafisha uke,ujanyoa mavuz, hii umfanya Mme akinai kufany mapenz na wewe...

4.kulala kitandani na Mme huku unahasira
hii utafsiriwa kuwa unakiburi na umemchoka Mme👌

5.kuwa bubu chumbani
upo na mmeo kitandani upo kimya mda wote, upo serious km upo na kaka yako👉hii umfanya Mme hakose hamu ya kukuanza ✍️

6.kutoa visingizio Mme akionyesha kutaka mzigo
👉hii ndio hatar kbs hupelekea Mme kuchepuka,
 
_TIBU Chanzo_

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KURIDHISHANA WAKATI MWANAMKE AKIWA KWENYE HEDHI

ZIJUE TABIA HIZI ZA MSICHANA ANAYEPENDA LAKINI HAWEZI KUSEMA.

UNADHANI NI MWANAMKE YUPI AMBAYE ANATESEKA ZAIDI HAPA