Tofauti Zilizopo kati ya *MSICHANA*
na *MWANAMKE* kwa sasa
ila Wanawake wanatafuta wanaume wanaojali na kupenda.
ila Wanawake hupima thamani ya wanaume wao kwa kuangalia kiwango cha busara na hofu ya mungu na kwa vipi wanajiheshimu mbele ya wapenzi wao.
ila Wanawake wanafahamu sheria ya uhitaji (Vitu rahisi vina wateja wengi).
ila Wanawake wanahitaji pesa kwa ajili ya kufanyia mipango ya maendeleo.
mwanamke akipendwa anajali na kuthamini kupendwa.
mwanamke akiolewa anabadilisha tabia kutoka ya usichana kuwa na tabia ya kiuanamke,
hana usichana tena.
Hivyo jitazame upo kundi lipi upate kuubadili mtazamo ulionao 2021..........
Jiunge na group langu WhatsApp

Comments
Post a Comment