KINACHO WAPONZA WANA MAHUSIANO NA NDOA WALIO WENGI NI KUJAWA HASIRA ZA MAPENZI NA KUFIKIRI NI RAHISI KUMPATA WA KUCHUKUWA NAFASI YA HUYO MSUMBUFU 🙇♂️
Sio kila mtu anaweza kusimama katika eneo ambalo wewe hukupa FURAHA NA AMANI
Usijidanganye kwa mahusiano ya mpito, Kuanzisha vitu kwamba vichukuwe nafasi ya kukwepa kuumia juu ya MAHUSIANO AMA NDOA.
Mapokeo ya MOYO ni tofauti na mapokeo ya AKILI
Unaweza kujaribu kutafuta mbadala wa kuondoa mawazo ila huwezi kupata mtu wa kuilinda nafasi ya FURAHA NA AMANI YAKO
Kila mtu hujaribu kubahatisha kumpata mtu anayeendana nae na wengi wanawapata ila shida ni moja;-
Mahusiano na ndoa nyingi zinaishia kuwaliza watu kwa sababu ndogo ndogo wala sio kubwa kubwa
Huwezi kumlinganisha mwenza wako na;-
Lazima ujikute unakosa CREDIT "thamani".
Kila mtu huyafurahia mahusiano ama ndoa ambayo inampa THAMANI
Pesa zinatafutwa, Mali na magari vyote ni vitu vya juhudi tu unapata, Lakini kumpata mtu ambaye anaweza kujitoa kwako kwa ajili ya UPENDO
niamini ni BAHATI.
Wengi husema;-
Hayo yanabaki kuwa maneno na misemo ya wafa maji tuuuu

Kama kweli baada ya kuumia na kukosa tumaini kwa mwenza wa awali ingekuwa hakuna maana tena ya kuwa kwenye mahusiano ama ndoa eti kisa unapesa akina BILL GATES wangesumbuka na vidosho tena
Mapenzi ni kama masika huwezi kuzuia mafuriko ya hitaji lake

#Elista_kasema_ila_sio_Sheria 

Comments
Post a Comment