MWANAMKE ANAYEOLEWA KWA JUKUMU LA NDOA NI TOFAUTI NA MWANAMKE ANAYE FUATA NGONO📍





Ndoa ni AGANO na limebeba maana ya UPENDO kwa vyovyote vile NDOA NI JAMBO LA KUJITOA
Wanawake wengi kwa sasa wanaingia mahusiano na ndoa kwa kufuata NGONO na pindi ile hali ya hitaji hilo ikikosekana huzaliwa USALITI
Tamaa ya ngono inaweza kuiondoa maana halisi ya UPENDO kulingana na mihemko inayompata mtu husika, Ndoa nyingi zimeghubikwa na USALITI wa kukosa kile mtu ndicho kilimleta katika ndoa hiyo, Na kwa asilimia kubwa WANAWAKE ndo wamekuwa wasaliti wakubwa kutokana na tamaa zao za kufikiri ;-
👉 NGONO WALOPEWA KABLA YA KUISHI PAMOJA HIYO NDIYO ITADUMU KWENYEp MAISHA YAO YA NDOA.
Wanaume wengi kwa sasa hawapo REAL "uhalisia" Kwenye Mapenzi kwani wanatumia njia mbadala kunogesha NGONO.
Kibaya zaidi ni;-
👉 WANAWAKE KUOLEWA NA WANAUME REPLACEMENT "mbadala"
Pindi aonapo hakuna jipya kwenye ndoa aliyopo mara nyingi huwa wanageuka na kumtazama yule wa awali🙇‍♂️
#Elista_kasema_ila_sio_Sheria 🔨


Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KURIDHISHANA WAKATI MWANAMKE AKIWA KWENYE HEDHI

ZIJUE TABIA HIZI ZA MSICHANA ANAYEPENDA LAKINI HAWEZI KUSEMA.

UNADHANI NI MWANAMKE YUPI AMBAYE ANATESEKA ZAIDI HAPA