ACHA PENZI LIONGEE KAMA WAMPENDA BASI UTAMBEMBELEZA





Ni kifo pekee ndo kitanichagulia kati ya kukuacha wewe au niende kwa mwengine. 

🌹Siyaoni maisha yangu nje ya penzi lako, una funguo za pumzi zangu wewe ❤️

🥀Mapenzi maji ya kunywa, tuyanywe kwa staha mpenzi, maana yakitunywa yenyewe hatuwezi kutoboa.

🌺Umefanikiwa kuitenganisha shilingi na mapenzi ya kweli, ni wachache tu ndo wanaweza. Kwa hili waje wajifunze kutoka kwako.

🍄una kiuno feni ewe malkia, hakuna anayekupata kwa kukatika ukiamua. Mengine nikae kimya, nitaharabu nikisema 😂😂😂 😂

♥️Nakupa pombe ya roho yangu, nigide unavyoweza. Si walinibomoa eeh, mkandarasi hodari umejua kunijenga na kunipamba. Nang'ara.

Nilitaka tu kukujulia khali  kipenzi changu, unapendwa na kila kiungo cha mwili wangu 🥰🥰❤️❤️

Mapenzi ndo haya sasa😀😀😀imagine ndo nakwambia maneno hayo c utanenepa ghafla😀😀😀kwaheriniii🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃


🍏Daktari wa Mahaba🍏


Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KURIDHISHANA WAKATI MWANAMKE AKIWA KWENYE HEDHI

ZIJUE TABIA HIZI ZA MSICHANA ANAYEPENDA LAKINI HAWEZI KUSEMA.

UNADHANI NI MWANAMKE YUPI AMBAYE ANATESEKA ZAIDI HAPA