MADHARA YA KUTOFANYA TENDO LA NDOA MUDA MREFU
🍏Habari zenu, nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu🍏
🍏Ukikaa Muda mrefu bila Kufanya tendo la ndoa madhara yake ni kama haya🍏
🍏Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo🍏
🍏Hupelekea kupendelea sana kuangalia picha za uchi na sex video🍏
🍏Kusahau sahau,kupendelea story za mapenzi,kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke)🍏
🍏Kupenda kurukia rukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo
yasiyokuhusu)🍏
🍏Kuumwa na kichwa🍏
🍏Kukakamaa mgongo (wanaume)🍏
🍏Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba🍏
🍏Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency)🍏
🍏Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno🍏
🍏Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala
kama ulevi n.k.🍏
🍏Kuoa kuolewa ndio muhimu zaidi katika hili🍏
🍏Daktari wa Mahaba🍏
Comments
Post a Comment