MAMBO MADOGO YANAYOIADHIBU NDOA YAKO MWANAMKE
*Badili mwenendo wako na mazoea uiokoe ndoa yako.........
🏵️Oga, paka mafuta kisha vaa vizuri🏵️
🏵️Mnatabia ya kusema waswahili hawana kazi,,wavivu sijui nini nini🏵️
🏵️Mke kamilika idara zote🏵️
🏵️Kama hutaki kukamilika na usilie na madanga ya mumeo🏵️
🏵️Unalia nini na kukamilika hutaki🏵️
🏵️Sikia mpendwa ongea yako tu inaweza kumpa mumeo hamu na wewe🏵️
🏵️Yaani chakula unacho pika ukakiandaa vizuri hakika ni andalizi tosha🏵️
🏵️Tembea yako hapo ndani mbona mahaba hizo simu na laptop na tv hata kua na hamu ya kuziangalia🏵️
🏵️Sio unatembea una buruza mamiguu na unagonga mamilango kama fundi seremala anayetengeneza madawati ya upe🏵️
🏵️Mwanamke unae jitambua huwezi tenga chakula kisha ukae mbali na chakula na mumeo huku una peruzi na jicho kwenye luninga mumeo atapata wapi hamu nawe🏵️
🏵️Acha akae na simu yake ama laptop maana ndani hapa eleweki🏵️
🏵️Akiingia bafuni matisho na nguo zako za ndani skin tight una anika bafuni serious?🏵️
🏵️Halafu heri iwe nyeusi ama nyeupe kijani kama lile pazia la hospital la kuzungushia mgonjwa... atapatia wapi hamu na wewe?🏵️
🏵️Mezani vyombo vimechanganyikana hata havieleweki,,,panga vilete mvuto wa kutumika🏵️
🏵️Duster za mezani ni kanga imelauka hatari🏵️
🏵️T-shirt ndio ya kufutia vyombo duh ni hatari hiyo🏵️
🏵️Tena mume kama bado ana rudi hapo ana utu sana na mcha mungu🏵️
🏵️Bra ina mafundo kama kamba ya scout khaa🏵️
🏵️Muwahurumie hao wanaume wanakomalia simu,,tv na laptop wakati hiyo ni nafasi ya kukuangalia wewe mke hapo home🏵️
🏵️Yaani hamjui uwezo mlionao🏵️
🏵️Laiti mmngejua kuvitumia vilivyomo kwenye miili yenu waume wangetulia tuli🏵️
🏵️Yaani jicho tu ukijua kulitumia linampa taarifa zote,, ukimuangalia ni kama umemuambia i need it..... 🏵️
🏵️Ukimpa chakula ni kama umemwambia today we must have some moreeee🏵️
🏵️Ukimpa kahawa ama juice ama chai ni kama unamwambia last game was amaizing🏵️
🏵️Sasa mavikombe yako na maglass yako na majuice yako mabovu Loh!! 🏵️
🏵️Utasikia weka hapo nitakunywa🏵️
🏵️Halafu unasema hana shukrani eti mkali🏵️
🏵️Hivi una makalio maziwa mapaja.. mdomo na macho ukali anautolea wapi ndani kwako?🏵️
💞MSIISHI NA WAUME ZENU KWA MAZOEA💞
🍏Daktari wa Mahaba🍏
Comments
Post a Comment